MAKAMBAKO-NJOMBE KWETU
Monday 10 October 2016
Thursday 4 August 2016
Thursday 7 April 2016
Sunday 13 March 2016
NAKUPENDA MAKAMBAKO DAIMA
Makambako ni miongoni mwa miji inayokuwa kwa kasi kubwa sana hapa nchini Tanzania. Mji wa Makambako unapatikana upande wa kusini mwa nchi yetu ya Tanzania, na ndilo eneo ambalo ni kiungo mhimu kwa kwenda mikoa yote ya kusini mwa Tanzania ikiwemo Mbeya, Ruvuma, Songosongo, Simiyu, Rukwa na mikoa mingineyo iliyo karibu ikiwemo Mtwara na Lindi. Mandhari ya mji huu ni mazuri na ni mji wenye asili ya ubaridi na hivyo kururhusu pilikalika za kibiashara kuendelea wakati wote (mchana na usiku). Hata hivyo kuwepo kwa njia kuu za usafirishaji na wa barabara (njia panda) na njia kuu ya reli (TAZARA) kumeufanya mji huu kuwa ni mji maarufu kwa biashara.
Sunday 21 February 2016
JAMANI MAKAMBAKO SHANGWE
karibuni wana-Makambako changia mada.
Amani kwetu wana-makambako, kama wewe unavyoipenda makambako yetu, mimi naipenda sana makambako yetu yamkini nahisi ni zaidi hata ya wewe. natamani ingewezekana basi niishi niishi maisha yangu yote hapa makambako. lakini ugumu wa maisha ndo kikwazo kwetu sisi sote.
MUNGU IBARIKI MAKAMBAKO, WABARIRKI WANA-MAKAMBAKO NA BARIKI MALI ZAO PIA.
karibuni wana-Makambako changia mada.
Amani kwetu wana-makambako, kama wewe unavyoipenda makambako yetu, mimi naipenda sana makambako yetu yamkini nahisi ni zaidi hata ya wewe. natamani ingewezekana basi niishi niishi maisha yangu yote hapa makambako. lakini ugumu wa maisha ndo kikwazo kwetu sisi sote.
MUNGU IBARIKI MAKAMBAKO, WABARIRKI WANA-MAKAMBAKO NA BARIKI MALI ZAO PIA.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Popular Posts
-
Makambako ni miongoni mwa miji inayokuwa kwa kasi kubwa sana hapa nchini Tanzania. Mji wa Makambako unapatikana upande wa kusini mwa nchi ...
-
Habari wana-Njombe kwa ujumla wetnu. Wana-Njombe ni wamoja kwa maendeleo ya Njombe yetu. ninayo furaha kubwa kuielezea Njombe kua ni moingn...