karibuni wana-Makambako changia mada.
Amani kwetu wana-makambako, kama wewe unavyoipenda makambako yetu, mimi naipenda sana makambako yetu yamkini nahisi ni zaidi hata ya wewe. natamani ingewezekana basi niishi niishi maisha yangu yote hapa makambako. lakini ugumu wa maisha ndo kikwazo kwetu sisi sote.
MUNGU IBARIKI MAKAMBAKO, WABARIRKI WANA-MAKAMBAKO NA BARIKI MALI ZAO PIA.